
English
Kiswahili
Mathematics
Science and Technology
Social Studies
Arithmetics
ICT
Sports and Arts
Early Literacy and Communication
Creative Arts and Sports
Caring For Our Health
Early Arithmetic
African Schools ni taasisi ya elimu inayotoa elimu ya awali, msingi na elimu ya Sekondari hadi kidato cha sita. Elimu inayotolewa ni kwa Lugha ya Kiingereza (English Medium). Karibu mzazi/mlezi kwa ajili ya elimu ya mtoto wako ambapo pia utashuhudia yafuatayo: Elimu inayomwezesha mwanafunzi kujua thamani ya kuongoza, kufaulu na kujitolea binafsi kujisomea, kufanya udadisi wa kitaaluma, kujiamini na kutambua thamani ya elimu yake na kuzingatia katika maisha yake.